◾ Baada ya kusoma kozi hii utakuwa umejifunza mambo yafuatayo;

  1. Kwa nini unapata tabu sana kuuza kitabu chako
  2. Sifa nne ambazo utazizingatia unapoanza kuandika kitabu chako
  3. Utofauti wa kitabu kizuri na kitabu bora
  4. Maswali matatu ya kujiuliza kabla haujaanza kuandika kitabu chako
  5. Unafanyaje kitabu chako kiwe na sifa zinazotakiwa

◾ Muda wa kozi: Siku 6

◾ Uwasilishaji: Baruapepe

◾ Ina audio za kusikiliza

◾ Mazoezi, mtihani & cheti

Weka taarifa zako hapa chini kujisajili kwenye kozi. 

NOTE: Ukimaliza kujisajili, ingia kwenye baruapepe yako, kuna maelezo ya jinsi ya KUANZA KOZI hii nimekutumia tayari.

.