◾ Baada ya kusoma kozi hii utakuwa umejifunza mambo yafuatayo;

  1. Kwanini utoe ebook?
  2. Suluhisho la kukosa kitu cha kuandika
  3. Hatua sita za kuandika ebook
  4. Napataje muda wa kuandika ebook?
  5. Uandike wapi?
  6. Mchakato wa kutoa eBook – I
  7. Mchakato wa kutoa eBook - II

◾ Muda wa kozi: Siku 8

◾ Uwasilishaji: Baruapepe

◾ Mazoezi, mtihani & cheti

Weka taarifa zako hapa chini kujisajili kwenye kozi. 

NOTE: Ukimaliza kujisajili, ingia kwenye baruapepe yako, kuna maelezo ya jinsi ya KUANZA KOZI hii nimekutumia tayari.

.